2902; Mipango kabla na baada ya fedha.

By | December 11, 2022
2902; Mipango kabla na baada ya fedha. Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye unakuwa na mipango mizuri kabla hujawa na fedha, ila ukishakuwa nazo mipango hiyo inayeyuka. Watu wamekuwa wanasema wazi kwamba wakiwa hawana fedha wanakuwa na mipango mizuri. Ila wakishazipata fedha wanasahau mipango hiyo mizuri. Wanazitumia mpaka zinaisha ndiyo wanakuja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz