2927; Nitavumilia matokeo, siyo mchakato.

By | January 5, 2023
2927; Nitavumilia matokeo, siyo mchakato. Rafiki yangu mpendwa, Kwenye maisha kuna mambo mawili makubwa; mchakato na matokeo. Mchakato ni yale unayofanya, hatua unazochukua kwenye kila jambo. Matokeo ni kile kinachokuja kupatikana kutokana na hatua zinazokuwa zimechukuliwa. Mchakato upo ndani ya uwezo wa mtu. Mtu ana uwezo wa kuamua nini afanye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz