2928; Asiwepo wa kuizidi biashara.

By | January 6, 2023
2928; Asiwepo wa kuizidi biashara. Rafiki yangu mpendwa, Matatizo mengi ya kibiashara yamekuwa yanaanzia pale mfanyabiashara anaposhindwa kujitofautisha yeye na biashara yake. Waanzilishi wengi wa biashara huwa wanadhani wao na biashara zao ni kitu kimoja. Na hilo limekuwa linapelekea wafanye maamuzi ambayo yanaiathiri sana biashara. Kosa kubwa wanalofanya ni kuifanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz