2933; Hatari ya saratani.

By | January 11, 2023
2933; Hatari ya saratani. Rafiki yangu mpendwa, Saratani huwa ni ukuaji wa eneo fulani la mwili usio na udhibiti wala ukomo. Hatari kubwa ya saratani ni pale inapoachwa ikaendelea kukua. Kadiri saratani inavyochelewa kuondolewa, ndivyo inavyokuwa na hatari kubwa. Na ubaya wake ni inavyokua haibaki tu pale inapokuwa imeanzia, badala

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz