2934; Akili za mkulima.

By | January 12, 2023
2934; Akili za mkulima. Rafiki yangu mpendwa, Wengi wetu tumepitia familia ambazo zilikuwa zinajihusisha na kilimo. Hivyo tuna uelewa fulani juu ya kilimo. Tunajua kabisa kwamba mkulima hapaswi kula mbegu. Hata njaa ikimkamata kiasi gani, mkulima makini anajua mbegu hailiwi, maana ndiyo kitu cha kumvusha kipindi kijacho. Lakini pia mkulima

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz