2948; Itakugharimu kabla haijakunufaisha.

By | January 26, 2023
2948; Itakugharimu kabla haijakunufaisha.Rafiki yangu mpendwa,Moja ya vitu ambavyo vinawazuia watu wengi wasipate mafanikio makubwa ni kukosa msimamo.Wanapanga vitu ambavyo watafanya, lakini wanapoanza kufanya na vikawagharimu, huwa wanaacha mara moja. Kitu ambacho wengi wamekuwa hawajui ni kwamba kila kitu kwenye maisha huwa kina gharama yake.Kila maamuzi unayofanya kwenye eneo lolote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz