2961; Uza maziwa, siyo ng’ombe.

By | February 8, 2023
2961; Uza maziwa, siyo ng’ombe.Rafiki yangu mpendwa,Ukiwa na ng’ombe, ambaye unamkamua maziwa, halafu akajitokeza mtu na kukuambia ng’ombe wako anatoa maziwa vizuri, niuzie maana nina uhitaji sana wa maziwa.Kama ndiye ng’ombe pekee uliyenaye na ndiye tegemeo kwako, unajua vyema kwamba hutakubali kumuuza ng’ombe huyo, bali utamwambia umuuzie maziwa.Kadhalika kama umeona

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz