2974; Umekufa au hutaki.

By | February 21, 2023
2974; Umekufa au hutaki.Rafiki yangu mpendwa,Moja ya vitu muhimu unavyohitaji sana kwenye safari yako ya mafanikio ni msimamo usioyumbishwa.Na msimamo huo haupaswi tu kuwa kwenye yale unayotaka, bali pia kwenye yale unayoahidi.Unapaswa kufanya neno lako kuwa sheria.Kwamba ukiahidi unatekeleza kama ulivyoahidi na siyo kuanza kuleta sababu.Unahitaji kuwa na nidhamu ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz