2988; Una machaguo matatu.

By | March 7, 2023
2988; Una machaguo matatu. Rafiki yangu mpendwa,Inapokuja kwenye kuajiri kwenye biashara, una machaguo matatu. Chaguo la kwanza ni kutafuta wafanyakazi ambao tayari ni bora kabisa kisha kuwaajiri hao na wakakupa matokeo makubwa na mazuri sana.Changamoto ya chaguo hili ni uhaba na gharama, wafanyakazi walio bora ni adimu sana kupatikana na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz