3030; Unafanya ambavyo hawafanyi.

By | April 18, 2023
3030; Unafanya ambavyo hawafanyi.Rafiki yangu mpendwa,Imezoeleka kwamba, kama unataka kufanikiwa, angalia yale ambayo waliofanikiwa wanayafanya kisha na wewe uyafanye.Kwamba mafanikio huwa yanaacha alama, kama utaangalia waliyofanya waliofanikiwa na wewe ukayafanya, utafanikiwa sana.Ni kweli kwamba mafanikio huwa yanaacha alama.Lakini kwenye kufanya yale ambayo waliofanikiwa wanayafanya, kuna ugumu mkubwa.Hiyo ni kwa sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz