3060; Kuna vitu unafanya kwa usahihi.

By | May 18, 2023
3060; Kuna vitu unafanya kwa usahihi.Rafiki yangu mpendwa,Takwimu nyingi za kibiashara zimekuwa zinasikitisha sana.Biashara nyingi zinazoanzishwa huwa zinakufa ndani ya mwaka mmoja au miwili.Vifo vya biashara hizo nyingi huwa vinatokana na changamoto mbalimbali ambazo waanzilishi hawakujua na kujiandaa nazo.Lakini pia makosa, uvivu na uzembe vimekuwa vinachangia sana vifo vya biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz