3108; Kuepuka ushindani.

By | July 5, 2023
3108; Kuepuka ushindani.Rafiki yangu mpendwa,Ushindani ni moja ya vikwazo vinavyowazuia watu wengi kupiga hatua kwenye maisha yao.Ushindani mkali unawazuia watu wasipige hatua kubwa.Pamoja na changamoto kubwa ya ushindani, bado ni kitu cha mtu kujitakia.Yaani kama mtu anakabiliwa na ushindani, anakuwa amechagua yeye mwenyewe.Huwa wanasema hakuna foleni kwenye njia iendayo kasi.Hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz