3121; Nioge au nisioge?

By | July 18, 2023
3121; Nioge au nisioge?Rafiki yangu mpendwa,Kuna vitu ambavyo huwa unavifanya kwenye maisha yako bila ya kuwa na mjadala kama uvifanye au la.Fikiria kuoga, ukifika wakati wa kufanya hivyo huwa hujiulizi iwapo uoge au usioge, huwa unaoga.Kadhalika kupiga mswaki, haina mjadala, unapofika wakati wa kufanya hivyo, unafanya.Hivyo pia ndivyo ilivyo kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz