3138; Malengo potoshi.

By | August 4, 2023
3138; Malengo potoshi.Rafiki yangu mpendwa,Kila mtu kwenye maisha ana malengo. Wanaofanikiwa wanakuwa na malengo.Kadhalika pia kwa wale wanaoshindwa, huwa wanakuwa na malengo pia.Hapa unaweza kujiuliza tofauti ya watu inatokea wapi kama wote wana malengo?Jibu ni kwamba tofauti inaanzia kwenye ubora wa malengo.Watu wanaofanikiwa huwa wanakaa chini na kuweka malengo sahihi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz