3143; Kikosi cha kwanza.

By | August 9, 2023
3143; Kikosi cha kwanza.Rafiki yangu mpendwa,Kila kocha wa mchezo, huwa ana wachezaji wengi kuliko inavyohitajika.Kwenye wachezaji hao wengi anaokuwa nao, huwa ana kikosi chake cha kwanza.Kikosi cha kwanza huwa kinakuwa na wale wachezaji bora kabisa ambao kocha anakuwa na imani nao kwamba wanaweza kumpa ushindi mkubwa.Hicho ndiyo kikosi ambacho kocha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz