3142; Sikosi hela ya kula.

By | August 8, 2023
3142; Sikosi hela ya kula.Rafiki yangu mpendwa,Matokeo yoyote ambayo mtu unayapata yanalingana na fikra ambazo mtu unakuwa nazo.Unachopata ni sawa sawa kabisa na picha uliyonayo kwenye fikra zako.Kwa mfano kama kwenye fikra zako unajisifu kwamba kwenye shughuli zako hukosi hela ya kula, hicho ndiyo utakachoishia kupata, hela ya kula.Hata upambane

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz