3175; Muda kama silaha.

By | September 10, 2023
3175; Muda kama silaha.Rafiki yangu mpendwa,Siyo kila tatizo au changamoto unayokutana nayo kwenye maisha unahitaji kuishambulia kwa ukali.Zipo nyingine ambazo silaha yake sahihi ni muda.Kwa kuvipa vitu muda, vinajitatua vyenyewe bila ya wewe kupoteza muda kwenye kuvitatua.Mfano mzuri ni pale watu wanapoiga kile unachofanya.Ni hali inayoweza kukuumiza.Kwa sababu unakuwa umekazana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz