3176; Kuza mauzo kwa macho na masikio.

By | September 11, 2023
3176; Kuza mauzo kwa macho na masikio.Rafiki yangu mpendwa,Mauzo ndiyo moyo wa biashara.Matatizo mengi ya biashara huwa yanaanzia kwenye mauzo.Pale mauzo yanapokuwa chini, changamoto nyingi hujitokeza kwenye biashara.Kwa maana hiyo basi, mahali pa kuanzia kutatua changamoto nyingi za kibiashara ni kukuza mauzo.Zipo njia nyingi za kukuza mauzo kama ambavyo tumekuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz