3180; Sitaki upate amani.

By | September 15, 2023
3180; Sitaki upate amani.Rafiki yangu mpendwa,Siku za karibuni nilikuwa nampigia mmoja wetu hapa simu.Akaniambia nikiona simu yako nakosa amani.Nikamwambia hivyo ni vizuri kabisa, kwa sababu hicho ni kiashiria kwamba programu inafanya kazi.Japokuwa jina langu ni Amani, hicho ndiyo kitu ambacho sitataka ukipate kabisa.Kwa sababu kupitia kujifunza kwa usomaji na hata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz