3301; Kupata na kukosa.

By | January 14, 2024
3301; Kupata na kukosa.Rafiki yangu mpendwa,Kuna watu huwa wanadhani maisha yanaendeshwa kwa bahati.Kwamba wenye bahati wanapata wanachotaka na wasiokuwa na bahati wanakosa.Lakini ukweli ni kwamba maisha yanaendeshwa na kupata au kukosa.Ni labda unapata kile unachotaka au unakikosa.Ili upate unachotaka, lazima kuna juhudi unazopaswa kuweka.Ni pale watu wanapokuwa hawaoni juhudi za

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz