3302; Kujidanganya kwenye fedha.

By | January 15, 2024
3302; Kujidanganya kwenye fedha.Rafiki yangu mpendwa,Hakuna watu ambao huwa wanajidanganya kwenye fedha kama wale ambao hawana fedha nyingi.Huwa wanajidanganya kama sehemu ya kujifariji.Lakini kujidanganya huko bado huwa hakuondoi ukweli kwamba hawana fedha na fedha ni muhimu. Fedha ni muhimu sana kwenye maisha, kwa sababu inanunua vitu vingi tunavyohitaji kwenye maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz