Category Archives: KURASA ZA MAISHA

Kila siku mpya kwenye maisha yako ni sawa na ukurasa mpya wa kitabu.
Kwa kila siku mpya unachagua ufanye nini na maisha yako.
Kupitia makala hizi za KURASA ZA MAISHA, utajifunza mambo muhimu ya kufanya ili uwe namaisha bora zaidi.
Makala hizi za kurasa zinakujia kila siku.

2320; Unapowashauri wengine, unajishauri

By | May 8, 2021

2320; Unapowashauri wengine, unajishauri mwenyewe… Watu wengi huogopa kutoa ushauri kwa wengine kwa kujiona hawajastahili kufanya hivyo. Wengi hudhani ili uweze kutoa ushauri basi lazima uwe na uzoefu mkubwa kwenye eneo hilo. Lakini hiyo siyo sahihi, unaweza kutoa ushauri hata kama huna uzoefu mkubwa kwenye jambo hilo. Kwa sababu unapomshauri (more…)

2319; Manufaa Mengine Ya Safari Ya Mafanikio…

By | May 7, 2021

2319; Manufaa Mengine Ya Safari Ya Mafanikio… Mtu mmoja aliyefanikiwa sana aliwahi kuulizwa kama kufika kwenye kilele cha mafanikio kumempa hali ya kuridhika, kama kumekuwa kama alivyotarajia. Akajibu hapana. Akaulizwa tena ana ushauri gani kwa wale wanaopambana na safari ya mafanikio, hasa kwa uzoefu wake wa kufikia mafanikio lakini asiridhike (more…)

2318; Kitu rahisi kuahirisha…

By | May 6, 2021

2318; Kitu rahisi kuahirisha… Huwa tunajifunza sana kuhusu madhara ya tabia ya kuahirisha mambo. Pale unapopanga utafanya kitu fulani halafu wakati wa kutekeleza ulichopanga unapofika hufanyi hivyo. Tabia hii ni kikwazo kwa mafanikio ya wengi. Kwa sababu muda unapotea ambao hauwezi kurudi tena. Kuna kitu kingine ni rahisi kuahirisha, lakini (more…)

2317; Kukimbiza Kipepeo…

By | May 5, 2021

2317; Kukimbiza Kipepeo… Kutafuta furaha kwenye maisha ni sawa na kumkimbiza kipepeo. Kadiri unavyomkaribia ndivyo anavyozidi kukimbia zaidi. Lakini usipomkimbilia kipepeo, ukiwa ‘bize’ na mambo yako mengine, unashangaa kipepeo anakufuata mwenyewe. Ukifanya kitu kwa sababu unategemea kupata furaha unaishia kutokuipata furaha, hata kama umekikamilisha inavyopaswa. Lakini unapokuwa ‘bize’ kufanya kitu (more…)

2316; Mchango Wako Ni Kupitia Kazi Yako…

By | May 4, 2021

2316; Mchango Wako Ni Kupitia Kazi Yako… Kila mtu ana ndoto ya kuifanya dunia kuwa sehemu bora kabisa ya kuishi kwake na kwa watu wengine. Kila mtu anapenda kuwasaidia wale wenye uhitaji kwenye maisha. Lakini wengi huvurugwa katika kutekeleza mipango hiyo. Wengi huhangaika na mambo yasiyo sahihi katika kutimiza malengo (more…)

2315; Uchoshi Ndiyo Mafanikio…

By | May 3, 2021

2315; Uchoshi Ndiyo Mafanikio… Kama huwezi kuukubali uchoshi (boredom) na kuishi nao, huwezi kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yako. Mafanikio ni marudio ya muda mrefu ya vitu vinavyoboa. Wengi hufikiri mafanikio ni matokeo ya tukio moja kubwa la kishujaa, lakini sivyo. Fikiria kwenye fedha, wengi tunapenda hadithi za mtu aliyetoka (more…)

2313; Maamuzi Ya Kamati…

By | May 1, 2021

2313; Maamuzi Ya Kamati… Huwa kipo kichekesho kwamba kamati ni kikundi cha watu wasio na uwezo na ambao hawapo tayari waliopewa jukumu lisilokuwa muhimu. Maamuzi yanayofanywa na kamati ni yale ambayo mtu mmoja hataki kulaumiwa kwa maamuzi anayofanya. Hilo hupelekea maamuzi yanayofikiwa na kamati kuwa ya kubembelezana na siyo yanayosimamia (more…)

2312; Ukishafanya Maamuzi…

By | April 30, 2021

2312; Ukishafanya Maamuzi… Kinachofuata ni kuyatekeleza, kujifanyia tathmini na kuboresha kadiri unavyokwenda. Na siyo kuanza kuyahukumu maamuzi yako mwenyewe baada ya kuwa umeyafanya, hata kama umekosea kwenye kuyafanya, kujihukumu haitasaidia. Bali unapaswa kujitathmini na kuyaboresha. Pia siyo kupoteza muda kutaka kila mtu aelewe na kukubaliana na maamuzi hayo. Wengi hawataelewa (more…)

2311; U mpweke…

By | April 29, 2021

2310; U mpweke… Umewahi kutamani watu wakione kitu kwa namna fulani unavyokiona wewe lakini wanashindwa kufanya hivyo? Umewahi kuwa na hisia fulani kwenye jambo lakini wengine wakawa na hisia tofauti unayoshindwa kuielewa? Unapojikuta kwenye hali hiyo usione kama una tatizo, bali tambua ndivyo kila mtu alivyo. Kila mmoja wetu anaiona (more…)