2280; Kila kitu kinaanza na mteja…
2280; Kila kitu kinaanza na mteja… Watu huwa wanahangaika na mambo mengi kwenye biashara zao, ambayo hata siyo muhimu. Yale ya muhimu kabisa na yanayoiwezesha biashara kupiga hatua huwa hayapewi uzito mkubwa. Watu huhangaika na wazo, jina, mtaji, eneo na mengine, lakini mteja hawampi kipaumbele kikubwa. Watu huhangaika na mbinu (more…)
