2230; Usijishikize Na Matokeo, Jishikize Na Kusudi…
Chanzo cha wengi kuanguka na kukata tamaa ni kushikiza utu wao kwenye matokeo waliyopata au wanayotaka kuyapata. Lakini matokeo huwa yako nje ya uwezo wa mtu kuyadhibiti na kuyaathiri. Hivyo mambo huwa hayaendi kama mtu anavyotegemea na hapo ndipo kuanguka na kukata tamaa kunapotokea. Mahali sahihi pa kushikiza utu wako (more…)
