2220; Chagua Jumuia Sahihi Kwako…
Sisi binadamu ni viumbe wa kijamii, huwa hatuwezi kuwa na utulivu tukiwa peke yetu. Tunapata amani na utulivu tunapojua ni sehemu ya jumuia fulani. Ndiyo maana ni rahisi vijana wanaobalehe kuingia kwenye makundi yenye ushawishi mbaya kwao. Wanakuwa kwenye kipindi cha mabadiliko kwenye maisha yao, ambapo wanataka kuondoka chini ya (more…)
