3247; Kama ungeanza upya.
3247; Kama ungeanza upya. Rafiki yangu mpendwa,Moja ya vikwazo vinavyowazuia watu kufanikiwa ni mwili na roho kutokuwa sehemu moja.Unakuta kile ambacho mtu anafanya na kile ambacho angependa kufanya ni tofauti kabisa. Mtu anakuwa anafanya kitu ambacho kama angekuwa anaanza upya kufanya, asingekifanya.Kinachomfanya aendelee kuwa kwenye kitu hicho ni kwa sababu (more…)