Category Archives: KURASA ZA MAISHA

Kila siku mpya kwenye maisha yako ni sawa na ukurasa mpya wa kitabu.
Kwa kila siku mpya unachagua ufanye nini na maisha yako.
Kupitia makala hizi za KURASA ZA MAISHA, utajifunza mambo muhimu ya kufanya ili uwe namaisha bora zaidi.
Makala hizi za kurasa zinakujia kila siku.

3272; Bora na sahihi.

By | December 16, 2023

3272; Bora na sahihi. Rafiki yangu mpendwa,Moja ya njia pendwa kwa wengi kupata mafanikio makubwa kwenye maisha ni kuwa bora sana kwenye kile wanachofanya kiasi kwamba wanatafutwa na wengi wenye uhitaji.Ni pale mtu anapokuwa anatafutwa na wengi ndiyo anaweza kutoza gharama kubwa na bado watu wakawa tayari kulipa. Hii ni (more…)

3271; Ahadi hewa.

By | December 15, 2023

3271; Ahadi hewa. Rafiki yangu mpendwa,Watu huwa wanatupa ahadi mbalimbali na sisi huwa tunaweka matumaini makubwa kwenye ahadi hizo.Lakini unapofika muda wa watu hao kutekeleza ahadi walizoweka ndiyo tunagundua zilikuwa ni ahadi hewa tu. Kadiri ahadi zinavyokuwa nyingi na nyingi zikawa hewa, ndivyo tunavyoumizwa kwa kutotimizwa kwa ahadi hizo. Hilo (more…)

3269; Usiwajengee kushindwa.

By | December 13, 2023

3269; Usiwajengee kushindwa. Rafiki yangu mpendwa,Watu wengi waliopo kwenye biashara hawapati ule uhuru ambao walitegemea kuupata wakiingia kwenye biashara.Na hiyo ni kwa sababu biashara zinakuwa zinawategemea kwa kila kitu. Biashara zinakuwa zinawategemea wao kwa kila kitu kwa sababu wanakuwa hawana timu.Au hata kama wana timu, inakuwa siyo timu inayoweza kuendesha (more…)

3267; Kuzingatia na Kuepuka.

By | December 11, 2023

3267; Kuzingatia na Kuepuka. Rafiki yangu mpendwa,Mara nyingi watu wamekuwa wanafundishwa na kushauriwa kuhusu mambo ya kuzingatia ili kupata mafanikio wanayokuwa wanayataka.Hayo ni mambo ambayo wanapaswa kuyafanya ili wapate matokeo wanayotaka kupata. Mambo ya kuzingatia ni muhimu, lakini hayo pekee hayatoshi kumpa mtu mafanikio makubwa anayokuwa anayataka.Kwani huwa kuna mambo (more…)

3266; Kwa nini huna imani?

By | December 10, 2023

3266; Kwa nini huna imani? Rafiki yangu mpendwa,Hivi karibuni kuna mtu aliniandikia akiomba ushauri ni biashara gani ya mtaji mdogo anayoweza kuifanya na ikampa faida kubwa? Kama kawaida yangu, huwa sikimbilii kumwambia mtu nini afanye, bali namuuliza kwanza maswali ili kumwelewa kwa kina.Na kupitia kumuuliza maswali mtu huyo niligundua tayari (more…)

3265; Kazi ambayo ni mchezo kwako.

By | December 9, 2023

3265; Kazi ambayo ni mchezo kwako. Rafiki yangu mpendwa,Njia pekee ya kuwa mbele ya wengine na kufanya makubwa ni kupenda vitu ambavyo wengine hawavipendi.Vitu ambavyo ni muhimu vifanyike, ila wengine hawapendi kabisa kuvifanya, huku wewe ukiwa unapenda kweli kuvifanya. Unapata mafanikio makubwa kwenye kile ambacho kwako ni mchezo, ila kwa (more…)

3264; Gharama ya makosa.

By | December 8, 2023

3264; Gharama ya makosa. Rafiki yangu mpendwa,Huwa kuna kauli inayosema usimkatishe adui yako akiwa anafanya makosa. Hiyo ni kwa sababu makosa yake yanakuwa na manufaa kwako. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwa upande wako, makosa unayofanya unaishia kuwanufaisha zaidi wengine. Kwa kila kosa unalofanya, jua kuna wengine ambao wananufaika kupitia makosa (more…)

3263; Sababu za kuacha.

By | December 7, 2023

3263; Sababu za kuacha. Rafiki yangu mpendwa,Kwa chochote kikubwa unachokuwa unafanya kwenye maisha yako, ni lazima unakutana na vikwazo na changamoto mbalimbali. Baadhi ya vikwazo na changamoto hizo vinaweza kuonekana ni vikubwa kiasi cha mtu kuona ni bora kuachana na kile anachofanya kuliko kuendelea na huo ugumu. Kwenye maisha, kitu (more…)