Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TAFAKARI YA LEO; KAMA UTAKUFA UKIWA UNAFANYA…

By | December 14, 2018

“Always read something that will make you look good if you die in the middle of it.” — P.J. O’Rourke Ni upendeleo wa kipekee sana kwetu kuweza kuiona siku hii nyingine mpya na nzuri kwetu. Hakuna kikubwa tulicholipa ili kuiona siku hii, ambacho wale ambao hawajaiona wameshindwa kulipa. Hivyo kitu (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUCHOSHA ZAIDI…

By | December 13, 2018

“Nothing is so exhausting as indecision, and nothing is so futile.” — Bertrand Russell Siku mpya, Siku bora na ya kipekee sana kwetu. Ni nafasi nyingine bora sana kwetu kwenda kuitumia siku hii kwa kufanya makubwa zaidi ya tulivyozoea. Ianze siku hii kwa shukrani kwa sababu siyo wote walioiona. Pia (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USHAURI UNAOWAPA WENGINE, NI USHAURI UNAOUHITAJI WEWE…

By | December 12, 2018

“The advice we give others is the advice that we ourselves need.” Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja (more…)

1440; Adui Namba Moja Kwenye Uwekezaji…

By | December 10, 2018

Ni hisia zako, hisia zako ndiye adui namba moja kwenye uwekezaji wako. Pia hisia zako kama hutaweza kuzidhibiti, zitakuwa adui wako wa kwanza kwenye mafanikio yako. Hisia kuu mbili zinazowavuruga wengi kwenye uwekezaji ni hofu na tamaa. Wakati ambapo fursa ya kuwekeza zaidi inapatikana, watu huwa wanatawaliwa na hofu wakiona (more…)

#TAFAKARI YA LEO; ACHA MARA MOJA…

By | December 10, 2018

Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Tumepata nafasi nyingine bora sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili tuwezw kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA ONGOZA tunakwenda kufanya makubwa leo na kila siku (more…)

1439; Ni Rahisi Kutokuifanya Kazi Unayopaswa Kufanya…

By | December 9, 2018

Asili ni kama inatutega, kama inatupa ushawishi tusifanye yale ambayo tunapaswakuyafanya. Chukua mfano wa shamba, kuwa na shamba zuri na lenye rutuba na mvua zipo, yataota magumu mengi, ambayo hayana hata matumizi. Hapo hujalima wala kufanya chochote, yanaota magumu na yanaota vizuri. Kwa nini yasingeota mazao ambayo wewe unayahitaji? Hapa (more…)

#TAFAKARI YA LEO; FANYA KILICHO SAHIHI…

By | December 9, 2018

Marcus Aurelius’s admonishment to himself, “Just that you do the right thing. The rest doesn’t matter. Cold or warm. Tired or well-rested. Despised or honored.” Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza (more…)

💥 #TAFAKARI YA LEO; UNACHOKIKIMBIA KIPO NDANI YAKO…

By | December 8, 2018

“The things you run from are inside you” Hongera mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA (more…)

#TAFAKARI YA LEO; JIFUNZE KUJIELEZA NA SIYO KUJIONESHA…

By | December 7, 2018

“Learn to express, not impress.” – Jim Rohn Siku mpya, Siku bora, Siku ya kipekee sana kwetu. Tumapata nafasi nyingine nzuri sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA ONGOZA tunakwenda (more…)