Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TAFAKARI YA LEO; FANYA MAJARIBIO MENGI ZAIDI…

By | June 7, 2018

“All life is an experiment. The more experiments you make, the better.” — Ralph Waldo Emerson Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wa NIDHAMU, UADILIFU NA (more…)

#TAFAKARI YA LEO; NJIA SAHIHI YA KUFANYA KISICHO SAHIHI…

By | June 5, 2018

AMKA mwanamafanikio, Na siyo tu uamke kutoka kitandani, bali amka kutoka ndotoni, amka kutoka kwenye mawazo duni ya kifanya vitu kw mazoea, kufanya vitu kwa kawaida. Amka kutoka kwenye kujiandaa kuishi na amka uanze kuishi leo. Maana muda pekee ulionao ni huu, na unaweza kufanya chochote unachotaka na maisha yako, (more…)

#TAFAKARI YA LEO; SILAHA HATARI SANA DUNIANI…

By | June 3, 2018

“The most powerful weapon on earth is the human soul on fire.” —Marshal Ferdinand Foch AMKA mwanamafanikio, Siku nyingine, siku mpya na ya kipekee kwetu imeshaingia kwenye mikono yetu. Ni maamuzi yetu tunatumiaje muda tulionao kwenye siku hii bora na ya kipekee sana kwetu. Tunaweza kutumia muda huu kufanya makubwa (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USIKOSE CHA KUFANYA KILA WAKATI…

By | June 2, 2018

Without constant activity, the threats of life will soon overwhelm the values.” —Jim Rohn Mwanamafanikio, Leo tena tumeipata siku mpya, siku bora na ya kipekee kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora kabisa. Nafasi tuliyoipata leo, haitajirudia tena kwenye maisha yetu, hivyo tunapaswa kuitumia vizuri ili kuweza (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USITEGEMEE CHOCHOTE, ILA WEKA JUHUDI…

By | May 31, 2018

“Expect nothing, and you will enjoy everything!” Hongera mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa TATUA, AMUA NA ONGOZA tunakwenda (more…)