Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA LEO; MUDA SIYO TIBA, BALI UNAWEKA VITU SAWA…

By | October 28, 2018

As Rilke wrote, “Time does not ‘console’ as people say superficially; at best it puts things in their place and it creates order.” Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUSUMBUA NI KUKOSA MSIMAMO…

By | October 26, 2018

Hii ni siku nyingine mpya kwetu, Ni siku ambayo tuna nguvu ya kuitumia vile tunavyotaka. Tunaweza kuitumia siku ya leo kupiga hatua zaidi kuelekea kwenye ndoto zetu. Au tunaweza kuipoteza siku hii kwa kuwa bize na mambo ambayo hayana mchango wowote kwenye kufikia ndoto zetu. Kama utaianza siku ya leo (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UNACHOKIPUUZA, KITARUDI KWA NGUVU KUBWA.

By | October 25, 2018

“Whenever we give up, leave behind, and forget too much, there is always the danger that the things we have neglected will return with added force.” — Carl Jung Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi nyingine nzuri na ya kipekee sana kwetu kwenda (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KITU PEKEE UNACHORUHUSIWA KUAHIRISHA…

By | October 22, 2018

Pablo Picasso said, “Only put off until tomorrow what you are willing to die having left undone.” Siku mpya, Siku nzuri na ya kipekee sana kwetu. Ni nafasi nzuri kwetu sisi wanamafanikio kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana leo hii na hata siku zijazo. Kwa msingi (more…)

#TAFAKARI YA LEO; DUNIA ITAKURUSHIA VITU…

By | October 20, 2018

Seneca said, “Things will get thrown at you and things will hit you. Life’s no soft affair.” Siku mpya, Siku bora na ya kipekee sana imeanza. Ni siku ambayo umekuwa unaisubiria kwa hamu, siku ambayo jana ulisema kesho nita…. Kesho ya jana ndiyo tayari imeshafika hivyo nenda kachukue hatua leo. (more…)