Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; USIMWOGOPE YEYOTE WALA CHOCHOTE…

By | May 14, 2020

“Fear nobody and nothing. That which is the most precious matter in you can be damaged by no one and by nothing.” – Leo Tolstoy Watu wanapotaka kukutawala au kunufaika na wewe, huwa wanaanza na kitu kimoja, hofu. Wanakufanya uwahofie, uone kwamba wanao uwezo wa kuyaharibu maisha yako au kuchukua (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; MWENENDO WA SAA WAKATI WA DHORUBA..

By | May 13, 2020

“Quiet minds cannot be perplexed or frightened but go on in fortune or misfortune at their own private pace, like a clock during a thunderstorm.” — Robert Louis Stevenson Kama kuna dhoruba kali ambayo inaendelea, unafikiri mishale ya saa inaendaje? Je itakwenda haraka au polepole? Jibu unalijua, mishale ya saa (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KINACHOWEZA KUFANYIKA MUDA WOWOTE…

By | May 11, 2020

Things that can be done at any time are often done at no time. Kitu kinachoweza kifanyika muda wowote, huwa hakipati muda wa kufanywa. Kitu kinachoweza kifanywa na mtu yeyote, huwa hakipati mtu wa kukifanya. Kitu kinachoweza kufanyika eneo lolote, huwa hakipati eneo la kufanyiwa. Hivi ni vitu vitatu muhimu (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; NI SEHEMU YA MAISHA…

By | May 10, 2020

“Ever since the world began, men have been subject to various tricks of Fortune, and it will ever be thus until the end.” – Giovanni Boccaccio Tangu kuanza kwa ulimwengu, binadamu wamekuwa wanapitia changamoto na majanga mbalimbali yanayotokana na asili. Na hivyo ndivyo itakavyokuwa kila siku ya maisha ya mwanadamu (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; JIFUNZE KILA SIKU…

By | May 9, 2020

“Seek to learn constantly while you live; do not wait in the faith that old age by itself will bring wisdom.” —SOLON Unakula chakula kila siku, Hukubali siku ipite hujaulisha mwili wako, Na kwa siku ambayo huna namna ya kulata chakula, utapambana kwa kila namna kuhakikisha unakipata. Hukuna siku umewahi (more…)