Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; USICHUKULIE CHOCHOTE POA…

By | May 6, 2020

“…the true secret of happiness lies in the taking a genuine interest in all the details of daily life…” — William Morris Siri kuu ya furaha ni kuweka umakini kwenye kila eneo la maisha yako ya kila siku. Chochote kile unachochagus kukifanya, weka mawazo yako yote kwenye kitu hicho. Usifanye (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SEMA UKWELI KWA WATOTO…

By | May 5, 2020

“You should always be truthful, especially with a child. You should always do what you have promised him, otherwise you will teach him to lie.” —After the TALMUD Watoto huwa wanajifunza kudanganya kupitia wazazi na walezi wao. Wanaangalia sana kile ambacho mtu anaahidi na jinsi anavyokitimiza. Hilo wanalielewa na kulikariri (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; JIFUNZE KUJUA, SIYO KUJULIKANA…

By | May 3, 2020

“Clever people study in order to know more. Undeserving people study to be more known.” —EASTERN WISDOM Changamoto kubwa kwenye maisha ni kwamba watu wengi hawajifunzi ili kujua, bali wanajifunza ili kujulikana. Mtu anaenda shule siyo ili apate maarifa yatakayobadili maisha yake, bali ajulikane na yeye ameenda shule au kufika (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SIFA ZA KAZI…

By | May 1, 2020

“Kazi ndiye rafiki wa kweli, asiyemtupa yeyote anayemheshimu.” – Dr Makirita Amani. 👉🏼Kazi ndiye rafiki wa kweli, imewatoa watu chini na kuwafikisha juu kabisa. 👉🏼Kazi inakupa heshima na utu, utaheshimika zaidi pale unapofanya kazi bora. 👉🏼Unapofanya kazi unayoipenda, inaacha kuwa kazi na kugeuka kuwa mchezo au sehemu ya maisha. 👉🏼Hakuna (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SIYO BAHATI WALA AJALI, BALI NI KAZI…

By | April 29, 2020

“Progress is not achieved by luck or accident,” Epictetus said, “but by working on yourself daily.” Kupiga hatua kwenye maisha yako hakutokani na bahati wala ajali, Bali ni matokeo ya kazi ambayo unaiweka. Na kazi hiyo siyo ya siku moja halafu unaacha, Bali kazi unayoweka kila siku. Viungo muhimu hapo (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; MATATIZO YANAONESHA SURA YAKO HALISI…

By | April 28, 2020

“The true man is revealed in difficult times. So when trouble comes, think of yourself as a wrestler whom God, like a trainer, has paired with a tough young buck. For what purpose? To turn you into Olympic-class material.” – Epictetus Tabia halisi ya mtu huwa inaonekana wakati anapitia magumu (more…)