Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; MWILI LAZIMA UTII AKILI…

By | April 16, 2020

Seneca said, “Hold fast, then, to this sound and wholesome rule of life…The body should be treated more rigorously, that it may not be disobedient to the mind.” Ukiusikiliza sana mwili wako, hutaweza kufanya makubwa kwenye maisha yako. Kwa asili mwili huwa haupendi kuchoka, Hivyo unavyotaka kufanya kitu ambacho kitakuchosha, (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; HATUA BORA KUCHUKUA…

By | April 15, 2020

“Our most important actions are those consequences which we will not see.” – Leo Tolstoy Hatua bora na muhimu sana kwako kuchukua ni zile ambazo matokeo yake hutayaona wala kunufaika nayo wewe binafsi. Kwa asili, sisi binadamu ni wabinafsi, huwa tunafanya kile kinachotunufaisha sisi kwanza kabla ya kufanya vitu vingine. (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KIKWAZO NDIYO NJIA…

By | April 14, 2020

“If you accept the obstacle and work with what you’re given, an alternative will present itself—another piece of what you’re trying to assemble.” – Marcus Aurelius Watu wengi huwa wana mipango mikubwa kwenye maisha yao. Lakini wanapoanza kufanyia kazi mipango hiyo, vikwazo na changamoto mbalimbali huwa zinaibuka. Hapo ndipo wengi (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KIKWAZO KIKUU NI HOFU…

By | April 12, 2020

“Fear defeats more people than any other one thing in the world.” —Ralph Waldo Emerson Hebu fikiria ni mambo gani ungekuwa umefanya na hatua zipi umepiga mpaka sasa kama usingekuwa na hofu? Biashara ambayo umekuwa unajiambia utaianza miaka mingi ungeshaianza tayari. Vitu vipya ambavyo umekuwa unatamani kuvifanya kwa muda mrefu (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; WASIOKUELEWA ACHANA NAO…

By | April 11, 2020

“Acquire worldly wisdom and adjust your behavior according. If your new behavior gives you a little temporary unpopularity with your peer group… then to hell with them.” – Charles T Munger Charlie Munger hapa ana ushauri muhimu sana kuhusu maisha, ambao tukiufuata mambo yetu yatakuwa mazuri sana. Anatuambia tunapaswa kupata (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUSUDI KUBWA, HATUS KUBWA…

By | April 10, 2020

“The further any purpose the faster we should work toward it.” —GIUSEPPE MAZZINI Kadiri kusudi la maisha yako linavyozidi kuwa kubwa, ndivyo unavyopaswa kuchukua hatua kubwa na za haraka. Tofauti na hapo utakuwa unajidanganya mwenyewe. Huwezi kuwa na kusudi na malengo makubwa, halafu ukachukua hatua za kawaida na ukategemea kufikia (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; MAZOEA HUZAA DHARAU…

By | April 8, 2020

“Familiarity breeds contempt, while rarity wins admiration.” – Apuleius Hakuna mtu anayeweza kukudharau bila ya wewe kumruhusu kufanya hivyo. Na njia ambayp umekuwa unawaruhusu watu wa kudharau ni kupitia mazoea. Kadiri watu wanavyozoea mtu au kitu, ndivyo wanavyokidharau. Kabla watu hawajazoea mtu au kitu, wanaheshimu. Wakishazoea wanadharau, wanachukulia poa. Kabla (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; UBAYA KWA WEMA…

By | April 7, 2020

To repay evil with goodness is easier, wiser, and more natural than to repay evil with evil. – Leo Tolstoy Repay evil with goodness. —The TALMUD Conquer rage with humility, conquer evil with goodness, conquer greed with generosity, and conquer lies with truth. —DHAMMAPADA Kulipa ubaya kwa wema, ndiyo kitu (more…)