#TAFAKARI YA ASUBUHI; FURAHA KUU NI WEWE KUWA BORA…
“The biggest happiness is when at the end of the year you feel better than at the beginning.” —HENRY DAVID THOREAU Furaha iliyo kuu ni pale unapojiona ukiwa bora mwisho kuliko ulivyokuwa mwanzo. Siku yako inakuwa ya furaha pale unapojiona uko bora zaidi mwisho wa siku kuliko ulivyokuwa mwanzo wa (more…)
