Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SANAA NA BURUDANI…

By | February 28, 2020

“If beautiful art does not express moral ideas, ideas which unite people, then it is not art, but only entertainment. People need to be entertained in order to distance themselves from disappointment in their lives.” —IMMANUEL KANT Sanaa ni kitu kinachowaleta watu pamoja, Ni kitu chenye maadili na misingi yake, (more…)

#TAFAKARI YA USIKU; CHUKI NI PESA…

By | February 27, 2020

Niliwahi kukuambia kwamba ukitaka fedha zaidi basi toa thamani zaidi. Leo nakuongezea kauli nyingine, ukitaka fedha zaidi, basi tafuta watu wengi zaidi wakuchukie. Kwa nini? Hii ni kwa sababu kama unataka kupata fedha zaidi, lazima ufanye tofauti na wengine wanavyofanya. Na utakapofanya tofauti, watu wataanza kukuchukia, Ndiyo maana chuki ni (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KABLA HUJAONGEA…

By | February 27, 2020

“If you have time to think before you start talking, think, Is it necessary to speak? Will what I have to say harm anyone?” – LEO TOLSTOY Kabla hujaongea chochote, jiulize maswali haya mawili; Je ni muhimu kuongea? Je kile ninachokwenda kusema, hakitamdhuru yeyote? Ukijiuliza maswali hayo na ukajipa majibu (more…)

#TAFAKARI YA USIKU; KWA NINI UAMBIWE? JARIBU MWENYEWE…

By | February 26, 2020

Wakati unaweka mipango yako mikubwa ya fedha, kuna watu watakukatisha tamaa, wengine watakubeza. Watakuambia ya nini ujisumbue na utajiri, wakati fedha hainunui furaha, huku wakikuonesha matajiri ambao hawana furaha au hawafurahii maisha yao. Sasa iko hivi rafiki, iwe unaambiwa na wengine au unajiambia mwenyewe kwamba utajiri hauleti furaha, kwa nini (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; USIWE MPUMBAVU, KAA KIMYA…

By | February 26, 2020

“A stupid person should keep silent. But if he knew this, he would not be a stupid person.” —MUSLIH-UD-DIN SAADI Mpumbavu anapaswa kukaa kimya, Lakini kama angelijua hilo, asingekuwa mpumbavu. Njia pekee ambayo watu wanaweza kujua ujinga wako ni kupitia yale unayoongea. Hakuna njia nyingine, Na kila mtu yuko tayari (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUJUA NA KUTAWALA…

By | February 25, 2020

Knowing others is intelligence; knowing yourself is true wisdom. Mastering others is strength; mastering yourself is true power. – Lao Tzu Kuwajua wengine ni akili, Kujijua mwenyewe ni hekima ya kweli. Kuwatawala wengine ni ushupavu, Kujitawala wewe mwenyewe ndiyo nguvu ya kweli. Kabla hujawajua wengine, kazana kujijua wewe mwenyewe kwanza. (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; TATIZO LA KUWADANGANYA WENGINE…

By | February 24, 2020

“We lie to other people so often that we get used to it, and we start to lie to ourselves.” —FRANÇOIS DE LA ROCHEFOUCAULD Kuna kichekesho kwamba mtu mmoja alienda kisimani kiteka maji, akakuta kuna foleni ndefu. Akajiuliza nitawezaje kuchota maji kwa haraka na kuondoka? Akapata wazo, atumie uongo. Basi (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SILAHA YAKO KUU…

By | February 23, 2020

“People are rational creatures. Why do they seem capable of using violence so much more easily than reason in their interactions with each other?” – Leo Tolstoy Sisi binadamu ni viumbe wa kufikiri, Una uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya maamuzi sahihi kulingana na hali ambayo unaipitia. Lakini mara nyingi (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; NI MAKOSA YAO, SIYO KUSHINDWA KWAKO…

By | February 22, 2020

“You have no responsibility to live up to what other people think you ought to accomplish. I have no responsibility to be like they expect me to be. It’s their mistake, not my failing.” – Richard Feynman Kila mtu anajua mtu mwingine anapaswa kuwaje, anapaswa kufanya nini na maisha yake (more…)