Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA ASUBUHI; UKIWASIKILIZA WENGINE, HUTAPATA UTULIVU…

By | March 5, 2020

“He who always listens to what other people say about him will never find inner peace.” – Leo Tolstoy Kama mara zote unasikiliza kile ambacho watu wanasema kuhusu wewe, hutaweza kuyaishi maisha yako. Utaishia kuishi maisha ya wengine na hilo halitakupa utulivu unaohitaji kwenye maisha. Hakuna mtu mwingine anayeyajua maisha (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; DHIBITI TAMAA YA KULA…

By | March 4, 2020

“A person who overeats cannot fight laziness; and a lazy man cannot fight sexual dissipation. All spiritual teachings start with restrictions, with control of the appetite.” – Leo Tolstoy Moja ya tamaa ambazo zinawaangamiza wengi bila ya wao kujua ni tamaa ya chakula. Watu wamekuwa wanakula kupitiliza, kitu ambacho kinapeta (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; SWALI SIYO UNAFANYA NINI, BALI UNAFANYAJE…

By | March 2, 2020

“The question is not what you look at—but how you look & whether you see.” — Henry David Thoreau Thoreau anatuambia swali siyo unaangalia nini, bali unaangaliaje na kama unaona unachoangalia. Tunaweza kujiuliza hivi kwenye kazi pia. Kwamba swali siyo unafanya kazi gani, bali unaifanyaje na kama unatoa thamani kubwa (more…)

#TAFAKARI YA USIKU; DAKIKA MOJA KWA BUKU…

By | February 28, 2020

“If we wasted money the way we waste time, we’d all be bankrupt.” – Seth Godin Kama ungekuwa unapoteza fedha kama unavyochagua kupoteza muda, basi ungekuwa umeshafilisika zamani sana. Lakini ambacho hujui ni kwamba, kuchagua kupoteza muda ni kuchagua kupoteza fedha. Hebu chukulia kwa kila dakika unayoipoteza ni tsh elfu (more…)