Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA USIKU; HEKIMA INAWEZA KUONESHWA POPOTE…

By | January 29, 2020

“There is nothing in which real wisdom cannot be displayed.” – Leo Tolstoy Hakuna chochote kinachoweza kuzuia hekima isionekane. Hekima ya kweli inaonekana na inaweza kutumika kwenye kila hali. Jijengee hekima ya kweli na itakuwezesha kuvuka kwenye hali mbalimbali. Unazikumbuka njia tatu za kupata hekima? Zitafakari kabla hujalala na jipange (more…)

TAFAKARI YA USIKU; UHURU NA UTUMWA WA SHERIA..

By | January 28, 2020

“Submission to the law created by men makes one a slave; obedience to the law created by God makes one free.” – Leo Tolstoy Ukifuata sheria zilizowekwa na wanadamu, unakuwa mtumwa wa hao walioweka sheria hizo. Ukitii sheria zilizowekwa na Mungu (sheria za asili) unakuwa na maisha huru. Watu wengi (more…)

#TAFAKARI YA USIKU; JE UNAFUNDISHIKA NA UZOEFU…

By | January 26, 2020

“Experience teaches only the teachable.” —Aldous Huxley Wanasema uzoefu ni mwalimu mzuri, Kwamba kile unachofanya na kupata matokeo fulani, unajifunza na kufanya kwa ubora zaidi au kutokufanya wakati mwingine. Lakini vipi wale ambao wanarudia makosa yale yale kila mara, Wale ambao kila wakati wapo kwenye madeni, Wale ambao kila biashara (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUTAKA SIFA NA KUKUBALIKA…

By | January 26, 2020

“You want praise from people who kick themselves every fifteen minutes, the approval of people who despise themselves?” – Marcus Aurelius Hongera sana mwanamafanikio kwa siku hii nyingine mpya, siku bora na ya kipekee sana kwetu. Ni nafaso nzuri kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. (more…)

#TAFAKARI YA USIKU; MAISHA HAYANA GHARAMA, ILA MAONESHO SASA…

By | January 25, 2020

“Living doesn’t cost much, but showing off does.” – Jeffrey D. Sachs Maisha ya kawaida hayana gharama kubwa, Mtu yeyote anaweza kumudu gharama za msingi kabisa za maisha. Kinachotutesa ni maigizo, kutaka kuiga wengine na kuonekana na wewe upo. Hapo ndipo unapojikuta kwenye madeni mazito, kwa sababu tu unataka na (more…)