Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia ulichosomea.
Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia ulichosomea. Tatizo kubwa la mfumo wa elimu unaotumika sasa ni kuwaandaa wanafunzi kwa njia moja tu ya kuingiza kipato, kuajiriwa. Wanafunzi wanafanya vizuri na kuhitimu, lakini nafasi za ajira hakuna. Kinachotokea ni wengi kukata tamaa na kuona elimu waliyopata haina maana. Elimu yoyote uliyopata (more…)