#TAFAKARI YA LEO; HUWEZI KUJISIFIA HEKIMA…
Unaweza ukawaambia watu kwamba umesoma vitabu vingi au unajua mambo mengi sana. Lakini huwezi kuwaambia watu kwamba una hekima kubwa. Hekima ni kitu ambacho watu wanakiona kwako, kutokana na jinsi unavyoyatumia maarifa ambayo umeyapata. Hivyo pata maarifa mengi uwezavyo, ila yatumie kujijengea hekima, kwa kuyaweka kwenye matendo yale uliyojifunza. Hakuna (more…)