#TAFAKARI YA LEO; KUJUA HUJUI…
“As your island of knowledge grows, so too does the shoreline of ignorance.” – John Wheeler Watu wengi hufikiri lengo la kujifunza ni kujua kila kitu. Kabla hawajaanza kujifunza, huamini wanajua karibu kila kitu. Hivyo wanapoingia kwenye kujifunza, hasa kwa kujisomea vitabu ndiyo wanakutana na ukweli ambao hawajawahi kuujua. Kadiri (more…)