Misingi Miwili Muhimu Kwenye Maisha Yako
Hapo zamani za kale, jamii ya kiyahudi ilikuwa na misingi na sheria inayowaongoza na walikuwa amri mia sita kumi na tatu. Ilikuwa ni ngumu kwa binadamu wa kawaida kuzishika zote. Baadaye wakalalamika, ndipo mtume na nabii wao Musa alipoenda kuongea na Mungu katika mlima Sinai akawapunguzia amri kutoka amri zaidi (more…)