Barua ya XVII; Kuhusu Falsafa Na Utajiri.
Barua ya XVII; Kuhusu Falsafa Na Utajiri. Rafiki yangu Mstoa,Watu wengi wamekuwa wanachukulia falsafa na utajiri kama vitu ambavyo haviwezi kwenda pamoja.Kama ambavyo wengi wanavyochukulia imani na utajiri haviwezi kwenda pamoja. Hivyo wale wanaochagua falsafa wanaamua kuachana kabisa na mambo ya utajiri.Huku wale wanaohangaika na utajiri wakipuuza kabisa falsafa. Lakini (more…)