Muda; Mambo Muhimu Ya Kuzingati Ili Kuwa Na Matumizi Mazuri Ya Muda Wako.

By | May 27, 2014
Kwenye makala tatu zilizopita tumejifunza mambo mengi sana kuhusu muda, tunavyoupoteza na jinsi ya kupata muda wa ziada. Mpaka sasa unaelewa kwamba muda ni muhimu na adimu sana zaidi hata ya fedha, kwa sababu ukipoteza fedha unaweza kupata nyingine ila ukishapoteza muda ndio umepotea huwezi kuupata tena. Pamoja na umuhimu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz