Sababu 15 Zinazokuzuia Kujiajiri Na Jinsi Ya Kuzishinda.

By | February 11, 2015
Kuna kitu kimoja ambacho sina hakika sana kama nimewahi kukuambia. Kama sijawahi kukuambia ni kwamba kwa nyakati ambazo tunaishi ni lazima kila mtu awe mjasiriamali. Hata kama una ajira inayokulipa kiasi gani, kutegemea chanzo kimoja tu cha mapato ambacho ni mshahara ni hatari kubwa sana unayoweza kucheza kwenye maisha yako.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAFANIKIO NA HAMASA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz