Kama Una Vipaumbele Huna Kipaumbele…

By | March 1, 2015
Kama una vipaumbele maana yake ni huna kipaumbele. Kama una vitu vingi ambavyo ni muhimu kwako maana yake huna ambacho ni muhimu kwako. Kipaumbele maana yake ni kitu kimoja unachokipa upendeleo na kukifanya kabla ya kufanya kitu kingine. Sasa kama una kipaumbele zaidi ya kimoja, maana yake hakuna ambacho ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz