UKURASA WA 146; Ukiendelea Na Maisha Haya Watu Watakunyanyasa Sana…

By | May 26, 2015
Katika moja ya makala za KURASA 365 ZA MWAKA 2015 tuliona kwmaba wewe mwenyewe ndio unaweza kutoa ruhusa ya mtu kukunyanyasa. Japokuwa ruhusa hii unaitoa pale unapokubali kunyanyasika na kitu anachofanya au anachosema mtu, kuna njia nyingine ya kunyanyasika ambayo hata kama hutakubali kuchukua kile ulichoambiwa au kufanyiwa bado utanyanyasika.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In