UKURASA WA 312; Giza Sio Kitu…. Hofu Sio Kitu…..

By | November 8, 2015
Giza sio kitu, bali ni ukosefu wa kitu. Giza sio kitu kwa sababu huwezi kulifanyia chochote, huwezi kulifanyia vipimo vya kitaalamu, ni giza tu basi huwezi kwenda zaidi. Giza sio kitu bali ukosefu wa mwanga, mwanga unapokuja, giza linaondoka, wala hakuna ushindani wowote, mwanga ukiwepo hakuna giza. Mwanga ni kitu,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz