UKURASA WA 388; Changamoto Nyingine Ya Kusema Ukweli…

By | January 23, 2016
Mara zote sema ukweli, ni rahisi sana kwa sababu hutakuwa na haja ya kukumbuka mengi. Unapodanganya inabidi utunze kumbukumbu sana, ili wakati mwingine usiseme kinachopingana na ulichosema mwanzo. Halafu pia unapodanganya, unahitaji kuendelea kudanganya zaidi, ili kufunika uongo wa kwanza, na inafika hatua huwezi kuendelea kudanganya tena na ukweli wote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz