UKURASA WA 601; Itachukua Muda…

By | August 23, 2016
Kitu ambacho watu wengi wanasahau kwenye safari hii ya mafanikio ni kwamba itakuchukua muda. Itakuchukua muda kuweza kutoka hapo ulipo sasa na kufika kule unakotaka kufika. Siyo kitu cha usiku mmoja, kwamba umelala masikini na kuamka tajiri. Hii ni kwa sababu umetumia muda mwingi kujitengeneza vile ulivyo sasa. Mpaka sasa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz