Njia Tano (05) Za Kuongeza Mauzo Kwenye Biashara Yako Unazoweza Kuanza Kuzitumia Mara Moja Na Kufaidika.

By | May 15, 2017
Mauzo ndiyo moyo wa biashara yoyote ile, kwa kuwa mzunguko wa fedha ni damu ya biashara, hivyo kinachosukuma mzunguko wa fedha ni mauzo, kama moyo unavyosukuma damu. Hii ina maana kwamba, kama biashara haiuzi, basi biashara hiyo inaelekea kufa, na hakuna namna ya kuiokoa bila ya kuongeza mauzo. Leo tutakwenda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz